2019 KCSE Kiswahili Paper 1 (102/1) Majibu 1. Hii ni insha ya kumbukumbu. Vipengele vya: (a) Kimuundo vya utungo wa aina hii vidhihirike kama ifuatavyo: (i) Kichwa : Kionyeshe : (a) Kundi linalokutana (b) Mahali pa mkutano (c) Tarehe ya Read More …
Day: September 9, 2022
KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3)
Kiswahili Karatasi 3 (102/3) MAJIBU 1. Haya ni maneno ya Msimulizi/mwandishi Yanamhusu Selume Selume yumo kwenye kituo cha Afya cha Mwanzo Mpya/ yanarejelea mandhari/ mazingira ya Kituo cha Afya cha Mwanzo Mpya Anawazia changamoto alizopata alipokuwa akifanya kazi kwenye hospitali Read More …
KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 2 (102/2)
Majibu 1. UFAHAMU (a) (i) Walikuwa hawaujui. ( ) Watu wengi walifariki. 2 x 1 = 2 (b) Madhara ya kemikali ya mbolea (i) Hudhuru afya za watu/husababisha magonjwa/ husababisha kansa/saratani (ii) Huwadhuru wanyama/ mifugo (iii) Hutia sumu kwenye mimea. Read More …
KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1)
Majibu 1. UFAHAMU (a) (i) Walikuwa hawaujui. ( ) Watu wengi walifariki. 2 x 1 = 2 (b) Madhara ya kemikali ya mbolea (i) Hudhuru afya za watu/husababisha magonjwa/ husababisha kansa/saratani (ii) Huwadhuru wanyama/ mifugo (iii) Hutia sumu kwenye mimea. Read More …
KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3)
Karatasi Ya 3 Mwongozo Wa Kusahihisha i. Mzungumzaji ni Mwalimu Mstaafu ii. Anazungumza na hadhira ambayo imekukja kumuaga iii. Yuko shuleni II. Toni ya kuonya/kutahadharisha – si vizuri kukitia kutumbua mchanga III. i. Kuwadhalilisha wenzake kama vile Baraka, FEsto, Mshamba Read More …
KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 2 (102/2)
Karatasi Ya 2 Maajibu (a) Kwa kurejelea kifungu, fafanua matatizo manne yanayoweza kusababishwa na matumizi ya simu kwa familia. (alama 4) i. Kunyamaziana/Upweke. Licha ya kuwa pamoja kila mtu anashughulika na simu yake. ii. Kutofahamu kinachoendelea kwenye ujirani wao/Watoto Kutoskia Read More …
KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1)
Karatasi Ya 1 Insha Mwongozo Wa Kusahihisha 1. Hii ni ripoti Yafuatayo yazingatiwe:- a) Muundo Sura ya ripoti idhihirike i) Kichwa – kionyeshe kiini cha uchunguzi ii) Utangulizi Mtahiniwa ataje jopokazi: wanachama walioteuliwa, aliyeteua jopokazi Hadidu za rejea (Masharti Read More …
KISWAHILI – Kenya Certificate of Secondary Education (K.C.S.E) Usahihisho /Marking Scheme
KCSE Past Papers 2021 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1) KCSE Past Papers 2021 Kiswahili Karatasi ya 2 (102/2) KCSE Past Papers 2021 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3) KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1) KCSE Past Papers 2020 Read More …
KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 3 (102/3)
4.23 Kiswahili Paper 3 (102/3) SEHEMU A : FASIHI SIMULIZI 1 Lazima (a) Huku ukitoa mfano, eleza maana ya vitanza ndimi. (alama. 2) (b) Fafanua majukumu sita ya vitanza ndimi katika jamii. (alama 6) (c) Eleza mbinu sita unazoweza kutumia Read More …
KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 2 (102/2)
4.2.2 Kiswahili Paper 2 (102/2) UFAHAMU: (Alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Gari lake kuukuu lilikuwa linapambana na barabara yenye mashimo yaliyoshiba na kutapika maji ya mvua ambayo sasa ilikuwa inaanza kupusa. Japo daima alipambana na usukani kunako mashimo Read More …