KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 1 (102/1)

KCSE Past Papers Kiswahili 2013 4.2.1 Kiswahili Paper 1 (102/1) 1.Lazima: Wewe ni meneja katika kampuni ya Jitihada ambapo pamekuwa na visa vya ukiukaji wa maadili ya kikazi. Waandikie wafanyakazi memo kuwaonya dhidi ya jambo hili. 2 .“Rununu (simutamba) imeleta Read More …

Share this:

KCSE Past Papers 2014 Kiswahili Paper 3 (102/3)

Karatasi ya 3 FASIHI SEHEMU A: RIWAYA 1. Lazima K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea “Labda ni suala la mzigo wa mwenzio kanda la usufi.” “….Sijui ‘mwenyewe’ aliyetajwa ni nani. Lakini sharti awe mtu ambaye kwake msiba kwa wengine kwake arusi.” (a) Fafanua Read More …

Share this:

KCSE Past Papers 2014 Kiswahili Paper 2 (102/2)

KISWAHILI Karatasi ya 2 LUGHA UFAHAMU: (Alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Afisa wa ukaguzi wa abiria na mizigo alimrudishia cheti chake cha usafiri na kubofya tarakilishi yake kuashiria kuanza kumhudumia mteja mwingine. Duma alikichukua cheti chake cha usafiri Read More …

Share this:

KCSE Past Papers 2014 Kiswahili Paper 1 (102/1)

KISWAHILI Karatasi ya 1 INSHA 1 Lazima Andika hotuba utakayowatolea wazazi, walimu na wanafunzi kuhusu umuhimu wa ushauri/nasha katika shule za sekondari. 2 Andika insha kuhusu jinsi raia wanavyoendeleza matumizi mabaya ya ardhi nchini. 3 Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali: Read More …

Share this:

KCSE Past Papers 2015 Kiswahili Paper 3 (102/3)

Karatasi ya 3 FASIHI SEHEMU A : FASIHI SIMULIZI Lazima (a) Soma utungo ufilatao kisha ujibu maswali. Hadithi ya Jabari inasimuliwa na jamii nyingi. Jabari alizaliwa kashika mkuki mkononi. Mawio ambayo kilio chakc, ambacho kwa kweli kilikuwa mugurumo, kilipopasua anga, nyota kubwa Read More …

Share this:

KCSE Past Papers 2015 Kiswahili Paper 2 (102/2)

Karatasi ya 2 LUGHA UFAHAMU: (Alama 15) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali. Siku moja nilifika kumwona babu yangu kule kwetu kijijini bila kumtolea taarifa mbele. Nilipofika nilimkuta amevaa magwanda yake yaliyokula chumvi hadi yakakinai. Alinitazama huku akitabasamu akisema, “Tabia hii Read More …

Share this:

KCSE Past Papers 2015 Kiswahili Paper 1 (102/1)

102/1 KISWAHILI Karatasi ya 1 INSHA 1. Lazima Wewe ni katibu Wa jopokazi lililoteuliwa kuchunguza vyanzo vya ongezeko la visa vya Wanafunzi katika enco la Telekeza kuacha shule kabla ya kukamilisha masomo yao. Andika ripoti ya uchunguzi huo. 2. Andika Read More …

Share this: