Majibu 1. UFAHAMU (a) (i) Walikuwa hawaujui. ( ) Watu wengi walifariki. 2 x 1 = 2 (b) Madhara ya kemikali ya mbolea (i) Hudhuru afya za watu/husababisha magonjwa/ husababisha kansa/saratani (ii) Huwadhuru wanyama/ mifugo (iii) Hutia sumu kwenye mimea. Read More …
Day: September 9, 2022
KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1)
Majibu 1. UFAHAMU (a) (i) Walikuwa hawaujui. ( ) Watu wengi walifariki. 2 x 1 = 2 (b) Madhara ya kemikali ya mbolea (i) Hudhuru afya za watu/husababisha magonjwa/ husababisha kansa/saratani (ii) Huwadhuru wanyama/ mifugo (iii) Hutia sumu kwenye mimea. Read More …
KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3)
Karatasi Ya 3 Mwongozo Wa Kusahihisha i. Mzungumzaji ni Mwalimu Mstaafu ii. Anazungumza na hadhira ambayo imekukja kumuaga iii. Yuko shuleni II. Toni ya kuonya/kutahadharisha – si vizuri kukitia kutumbua mchanga III. i. Kuwadhalilisha wenzake kama vile Baraka, FEsto, Mshamba Read More …
KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 2 (102/2)
Karatasi Ya 2 Maajibu (a) Kwa kurejelea kifungu, fafanua matatizo manne yanayoweza kusababishwa na matumizi ya simu kwa familia. (alama 4) i. Kunyamaziana/Upweke. Licha ya kuwa pamoja kila mtu anashughulika na simu yake. ii. Kutofahamu kinachoendelea kwenye ujirani wao/Watoto Kutoskia Read More …
KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1)
Karatasi Ya 1 Insha Mwongozo Wa Kusahihisha 1. Hii ni ripoti Yafuatayo yazingatiwe:- a) Muundo Sura ya ripoti idhihirike i) Kichwa – kionyeshe kiini cha uchunguzi ii) Utangulizi Mtahiniwa ataje jopokazi: wanachama walioteuliwa, aliyeteua jopokazi Hadidu za rejea (Masharti Read More …
KISWAHILI – Kenya Certificate of Secondary Education (K.C.S.E) Usahihisho /Marking Scheme
KCSE Past Papers 2021 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1) KCSE Past Papers 2021 Kiswahili Karatasi ya 2 (102/2) KCSE Past Papers 2021 Kiswahili Karatasi ya 3 (102/3) KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1) KCSE Past Papers 2020 Read More …
