KCSE Past Papers 2014 Kiswahili Paper 1 (102/1)

KISWAHILI

Karatasi ya 1

INSHA

Lazima

Andika hotuba utakayowatolea wazazi, walimu na wanafunzi kuhusu umuhimu wa ushauri/nasha katika shule za sekondari.

2 Andika insha kuhusu jinsi raia wanavyoendeleza matumizi mabaya ya ardhi nchini.

3 Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali: Achanikaye kwenye mpini hafi njaa.

4 Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo

Mara tu nilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu, nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya

(Visited 256 times, 1 visits today)
Share this:

Written by