KCSE Past Papers 2013 Kiswahili Paper 1 (102/1)

KCSE Past Papers Kiswahili 2013

4.2.1 Kiswahili Paper 1 (102/1)

1.Lazima:

Wewe ni meneja katika kampuni ya Jitihada ambapo pamekuwa na visa vya ukiukaji wa maadili ya kikazi. Waandikie wafanyakazi memo kuwaonya dhidi ya jambo hili.

2 .“Rununu (simutamba) imeleta alhari mbaya katika jamii.“ Jadili.

3 Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methaliz Usitukane wakunga na uzazi ungalipo

4 Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo:

Moyo wangu ulidunda kwa matarajio makuu

(Visited 200 times, 1 visits today)
Share this:

Written by