KCSE Past Papers 2020 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1)

Karatasi Ya 1 Insha Mwongozo Wa Kusahihisha

1. Hii ni ripoti

Yafuatayo yazingatiwe:-

a) Muundo

Sura ya ripoti idhihirike

i) Kichwa – kionyeshe kiini cha uchunguzi

ii) Utangulizi

 

  • Mtahiniwa ataje jopokazi: wanachama walioteuliwa, aliyeteua jopokazi 
  • Hadidu za rejea (Masharti na mipaka ya utekelezaji wa kazi iliyopangiwajopokazi)

     

  • Sampuli lengwa – habari zilikokusanywa 
  • Njia za ukusanyaji – hojaji, mahojiano, majadiliano kwenye vikundiiii) Mwili – Hoja zijadiliwe humu; vichwa vidogo vitumiwe

     

  • Sababu/mapuuza/matokeo 
  • Mapendekezo 
  • Hitimisho 
  • Kimaliziob) Maudhui

    Baadhi ya hoja ni:-

    i) Msisitizo mkubwa kwenye masomo ya kiakademia

    2

    ii) Kutokuwa na vielelezo tosha vy watu waliofanikiwa kwa kufuatia masomo ya

    aina hii

    iii) Masomo haya kutohimizwa katika shule nyingi kwa sababu ya ukosefu wa

    vifaa

    iv) Ukosefu wa walimu waliohitimu katika taaluma hizi

    v) Shinikizo kutoka kwa wazazi – wanafunzi wajishughulishe na masomo

    mengine

    vi) Mtazamo hasi kuwa baadhi ya masomo kama vile ufundi wa mabomba ni duni

    vii)Hapajawa na mfumo bayana unaoonyesha hatua ambazo

    mwanafunzi/mwanagenzi atapitia hadi pengine Chuo kikuu

    viii) Mafunzo mengine ya kiufundi ni ghali

    ix) Vyuo vichache vya kiufundi katika sehemu ya mashambani

    x) Vyuo vingine vya kiufundi vimegeuzwa kuwa vyuo vikuu, hivyo wanafunzi

    kutoona umuhimu wa vyuo vya kiufundi

    xi) Badhi huenda wasimudu masomo ya kisayansi, hivyo kukata tama

    xii)Masomo haya yanahitaji mtaji ndipo anayesomea apate ajira

    xiii) Mtazomo potovu uwa masomo haya ni ya mapato ya chini

    xiv) Walimu kuwavunja wanafunzi moyo

    xv) Masomo haya hayana mvuto kwa wanafunzi

    xvi) Masom haya huwafunga wanafunzi kukhusika wenyewe

    xvii) Mtazamo hari wa kijinsia kitamaduni, kitikadi

    xviii) Hoja zingine siko wazi

    c) Mahiniwa atoe angaa pendekezo moja kwa mafano

    i) Mtala usisitize masomo ya kiiufundi kuanzia ngazi za chini

    ii) Vyuo vya Ualimu vihusishe ufundishaji wa masomo ya kiufundi

    iii) Serikali iongezse ufadhili kwa masomo ya kiufundi

    iv) Kuwe na mfumo bayana unaoonyesha taaluma ambayo mwanafunzi atasomea

    akifuatia masomo ya kiufundi

    2. Makala yaonyeshe umuhimu wa magazeti

    Sura ya Makala idhihirike

    Badhi ya hoja ni:-

    i) Kujuza kuhusu yanayojiri nchini/ulimwenguni

    ii) Kupalilia usomaji wa mapana

    iii) Kukuza ubunifu – mwanafunzi atajifunza mitindo mbalimbali ya uandishi

    iv) Kufunzia/kujifunzia sajili ya magazeti

    v) Baath hula an sofa yak kufunzia vipengele vya lugha

    vi) Hukuza stadi za kuhariri

    vii)Hupalilia uwazaji wa kina, kwa mfano kupitia kujaza mraba

    3

    viii) Kupalilia mazoea ya kusoma

    ix) Kufanikisha somo la maktaba

    x) Kupalilia mbinu za kitafiti/mazoea ya kudadisi

    xi) Kuburudisha

    xii)Kuimarisha masomo kupitia kwa maswali na majibu

    3. Hii ni insha ya methali

    Kisha kidhihirishe maana ifuatayo

    Mtu asipotia bidii katika jambo matokeo yake huwa hafifu

    AU

    Kiasi cha kufanikiwa katika jambo hutegemea matayarisho/mikakati ambayo inawekwa

    Baadhi ya hali ambazo zinaweza kujitokeza ni:-

    i) Mwanafunzi kutojitayarisha ipasavyo kwa ajili ya mtihani na hatimaye kupata

    alama zisizoridhisha

    ii) Wakulima wakose kujiandaa ipasavyo, mwishowe wapate mavuno haba

    iii) Shirika likose kuweka mikakati ifaayo kuimarisha pato lake; lisipate faida,

    mwishowe lifilisike

    iv) Mlezi kutowaelekeza watoto ipasavyo, watoto kuinukia kuwa wasiotegemewa

    v) Mwajiri kutojaribu kuimarisha uhusiano wake na waajiriwa wake, migogoro izidi,

    uzalishaji mali uathirike vibaya

    Tanbihi

    1. Vipengele vitatu vya kimuundo vijitokeze; utangulizi, mwili, hitimisho

    2. Kichwa cha makala kidhihirike

    3. Sharti insha idhihirishe juhudi hafifu/mikakati hafifu/ukosefu wa kujiandaa, na baadaye

    hali/matokeo yasiyoridhisha

    Hii ni insha ya kibunilizi

    Mtahiniwa atunge kisa ambacho kinaoana na mwanzo huu

    Usimulizi unaweza kubainisha hali zifuatazo

    i. Msimulizi asimulie yaliyotokea baada ya kuwasili, labda hata anaibiwa

    ii. Msimulizi aonyeshe alikoenda baada ya kuwasili, labda anapokelewa na mwenyeji

    wake; kasha asimulie maisha yake huko kwa mwenyeji wake

    iii. Anaweza kuwa anapitia hapa tu; pengine anatoka garini kupumzika kabla ya

    kuendelea na safari yake. Baadaye anaendeleza usimulizi wake hadi panapoishia

    safari

    iv. Msimulizi anaweza kuanza kwa kauli hizi, kasha ataturudhisha nyuma kusimulia kisa

    ambacho kinamleta hapa

    v. Anawea pia kusimulia maisha ya watu wa mji hu

     

(Visited 294 times, 1 visits today)
Share this:

Written by