KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 2 (102/2)

Kenya Certificate of Secondary Education

2017 Kiswahili Karatasi ya 2

Lugha

UFAHAMU: (Alama 15)

Soma kifimgu kifilatacho kisha ujibu maswali.

“Asante baba, asante mama,” akasema Bahati jioni moja baada ya chajio, “Sijui ilitokeaje kukawa na Waru Wanaothamini binadamu Wenye mahitaji maalumu katika jamii hii. Sitawauliza mlichofanya kunikinga na hukumu ya ukoo ya kuniangamiza; hayo mtakuja kunihadithia siku rnoja. Ila nataka rnjue kwamba khishi na ulemavu Wa aina yoyote ile kuna dhiki kuu. Niliyokabiliana nayo baada ya uamuzi wenu wa kunipeleka shuleni hayawezi kutoshea hata chapisho la kurasa elfu.

Si kudhihakiwa na miale ya jua; ngozi yangu inashindwa kuuhimili ukali wake, si kutengwa na marika, si kulazimika kusoma hati za kawaida hadi pale serikali ilipoanzisha sera ya kuhakikisha kwamba matini zote za kiusomi zimeandikwa pia kwa hati ambazo zinaweza kusomwa na Wenye changamoto kama yangu, si kubaguliwa kazini….”

Bahati alitua, akawatazama wazazi wake kama anayetaka kuona taathira ya maneno yake kisha akaendalea.

“Msinione kama aliyckosa hisani, ila’ nataka niwaambie kwamba hata uamuzi wenu wa kunitafutia mlinzi kuandamana nami hadi shuleni ulinitia kwenye ngome zaidi.

Nilijihisi kama niliyedhulumiwa zaidi katika kule kulindwa! Najua mlikuwa mnachelea kwamba ningekuwa windo rahisi kwa walanguzi wa binadamu ambao wanaamini kwamba viungo vyetu sisi ni dawa ya kutibia ndwele mbalimbali.

Hata hivyo, katika kipindi chote hicho nilitamani kwamba mngcnifimza mbinu za kujilinda mimi binafsi. Amini usiamini hata nilitamani kwamba ningetekwa nyara, nijadiliane na Watesi wangu kuliko kupokwa nafasi ya kubuni mikakati ya kujihakikishia usalama”.

“Mwanangu Bahati,” alisema mume wangu, “binadamu hawi jagina kwa kuzifimta tamaduni za jamii yake bila kuzichunguza. :haidhuru kwamba ilichukua muda kuyangamua haya’. La muhimu ni kwamba umeweza kuishi kama ndugu zako”.

Nilimtazama mume wangu kwa macho yaliyokuwa yamepofushwa na dimbwi la machozi. Moyo uliituma akili yangu kurudi nyuma kule -e-e-e- kwenye miereka ya baada ya kuzaliwa kwa Bahati. Asubuhi hiyo ya kipupwe nilishika ujia ulioelekea kwenye msitu uliokuwa karibu na boma la Mzee Kedi, baba mkwe wangu; mgongoni nimeifungia mbeleko ambayo ilikisitiri kitoto changu. Nilitazama nyuma, nikaiona nyumba ambayo mimi na mume wangu tulikuwa tumechanga bia kuijenga.

“Haya yote nayaacha,” nilijiambia, “nayaacha na mengine mengi. Nawaacha mabinti wangu wawili, namwacha mume wangu, naiacha kazi yangu, nayaacha rnaisha yangm Wala sijuti kwa kuyaacha haya yote. Sina cha kujutia kwani imebidi kuondoka. Jamii yangu imenitema; mimi na mwanangu.

Haina nafasi ya mwanangu, kwa hivyo nami nimeamua kwamba haina nafasi yangu kwa vile imesema huu ni mzigo wangu. Ikiwa ukoo umeamua kuwa hatima ya mwanangu huyu ni kuwa kitoweo cha fisi, basi na tuwe sote karamu ya fisi,” nilitamatisha kauli yangu kisha nikayarudisha nyuma tena mawazo yangu.

Nilikumbuka sauti ya muuguzi hospitalini siku ambayo nilijikopoa, “Pongezi Tamasha, Mungu amekutunukia kipusa”. Nilikifunua kitoto changu kilichokuwa kimefunikwa gubigubi, nikakitazama viguu, vikono, uso…kisha, ‘Mungu wangu!’ ikanitoka. “Dadangu, unastahili kumshukuru Mungu,” akasema rnuuguzi, “wapo wanawake, mimi mwenycwe nikiwemo, ambao hawajawahi kuambulia uj auzito, sikwambii hata kupoteza mimba.

Huyu wako ni kiumbe kamili, kasoro yake i kwenye ngozi tu, na hii ni hali ambayo unaweza kukabiliana nayo. Hapa lmionapo nimelazimika kumpa mume wangu talaka, mwenyewe alienda kortini akaiomba. Anadai kwamba hatusikilizani. Ila najua kiini cha haya yote ni kutoshika kizazi”.

Nilimtazama huyo muuguzi kana kwamba hajaserna lolote. Nilimwona kama anayeuona mzigo wangu kuwa kanda la usufi. Huenda huyu muuguzi hakujua kwamba katika jamii yangu watoto wa aina hii ni kama pacha, huaminiwa kuwa nuksi kwa ukoo mzima, kwa hivyo hutupwa. Muuguzi huyu hakujua pia kwamba tayari nilikuwa na watoto wawili wa kike na huo tayari ulikuwa mzigo mkubwa kwaugu kwani ilibidi kumhakikishia mavyaa kila mara kwamba hawa pia walikuwa watoto.

Moyo ulinipa kukumbuka jitimai iliyojiandika usoni mwa mume wangu asubuhi hiyo alipokuja hospitalini. Alikitamma lcitoto chetu kana kwamba anaona mzuka. Alinyamaza kwa muda, akashusha pumzi, kisha akanishika kwenye bega na kuondoka kwenyc wodi. Machozi yalivunja kingo zake huko yanakohifiadhivya, nikalia kama mfiwa, Mume wangu alirudi tena baada ya siku mbili; anakuja kunipcleka nyumbani.

“Mke wangu, naomba msamaha kwa kutokuja kuwatazama kwa siku mbili. Ilibidi nishauriane 11a ukoo kuhusu lnnzia Inavyoonekana ni kwamba msimamo wa baba na wazee wenginc ni ule ule. Wanasema ukoo wa Baulanga haujawahi kupata mtoto wa aina hii, kwarnba kumhifadhi mwana huyu kumkuwa kuupaka masizi ukoo. Wahenga hawatakubali tendo hili. Sijui nitakutetea vipi.

Nimo kwenye njia panda,” mume wangu alikamlisha uzungumzi wake na kuelekea kwenye afisi ya mhasflm kukamilisha w’viga vya kutuondoa hospitalinj. “Huna haja ya klmitetea. Sijafanya kosa lolote. Nililofanya ni kujaliwa kiumbe ambaye anaonekana kuwa punguani kwa misingi ya jamii yako. Nitakilinda kitoto hiki hata kifoni,” nilimwambia mume wangu mawazoni.

(a) “Kufauikiwa kwa watu wenye mahitaji maalumu ktmategemea jamii.” Thibitisha kwa kutoa hoja sita kutoka aya tatu za kwanza. (alama 6)

(b) Kwa kurejelea aya ya nne hadi ya saba, onyesha jinsi unyanyasaji Wa kijinsia unavyoendelezwa katika jamii hii. (alama 3)

(c) “Msimulizi anahimiza. uwajibikaji.” Thibitisha kwa kutoa hoja nne kutoka aya tatu za ‘ mwisho. (alama 4)

(d) (i) Andika kisawe cha, ‘hisani’ kwa mujibu wa taarifa. (alama 1)

(ii) Elcza maana ya, ‘kuupaka masizi’ kulingana na taarifa. (alama 1)

2. UFUPISHO: (Alama 15)

Soma kifimgu kifitatacho kisha ujibu maswali.

Moja kati ya mambo ambayo yarnerahisisha maisha ya binadamu ni maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia. Siku hizi shughuli nyingi ambazo zilichukua muda kutekelezwa zinachukua muda mfupi sana. Tuchukue kwa mfano shughuli za usafiri na utendaji kazi.

Siku hizi zipo mashinc ambazo zinafanya kazi kuwa nyepesi mno. Kwa mfano, katika ukulima, kuna mashine za kulima, kuvuna na hata kupura nafaka.

Magari nayo yamerahisisha usafili na upashanaji habari. Safari ambayo awali ilichukua siku mbili au tam, siku hizi inachukua siku moja an hata saa chache tu kwa sababu ya kuwepo kwa magari ya kisasa.

Katika sekta ya elimu, maendeleo makubwa yameshuhudiwa. Siku hizi mwalimu anaweza kuhuisha some lake kwa kutumia. tarakilishi. Vipindi mbalimbali vimenaswa na kuhifahiwa kwenye kompyuta.

Itokeapo kwamba mwalimu wa darasa atakosa kuhudhurj/a somo, wanafunzi wanaweza kufunzwa na mwalimu wa kompyuta. Shughuli za utafiti nazo zirnefaidika mno kutokana na uvumbuzi wa kiteknolojia. Wasomi na wanafunzi wanaweza kupata matini mbalimbali za rejea kupitia kwenyc mtandao. Hili linasaidia kufidia upungufu Wa vitabu vya kikaida.

Hali kadhalika, maendeleo ya kiteknolojia yamerahisisha shughuli za usajili vyuoni na hata shuleni. Wanafimzi wanaweza kujisajili na hata kulipia kozi mbalimbali kupitia kwenye mtandao. Hali hii inaokoa muda ambao watahiniwa na wanaafunzi wangepanga foleni vyupni, na hata katika taasisi zinazotoa mitihani, ili kujisajili. Kadhalika, teknolojia imcsaidia katika kuhakikisha usalama wa alama za wanafunzi. Wataalarnu Wa teknolojia wameweza kuweka mikakati ambayo itahakikisha kwamba mabadiliko yoyote ya alama yanaweza kufuatiliwa kupitia kwenye mtandao.

Upande Wa matibabu nao haujaachwa nyuma. Utafiti kuhusu tiba za kukabiliana na magonjwa sugu unafanywa kupitia kwenye mtandao wa intaneti. Pia, kuna mitambo ya kuchunguzia viini vya magonjwa mbalimbali na kutoa matokeo hapo hapo.

Hali hii husaidia kumpa mgonjwa matibabu yafaayo Wakati ufaao, hivyo kuokoa maisha yake. Madaktari pia wanaweza kufanya udodosi hapo hapo kwa kubofya tu tarakilishi.

Yumkini manufaa zaidi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia yamepatikana kwenye uwanja Wa biashara na uchumi kw; jumla. Ni dhahiri kwamba siku hizi ubadilishanaji wa bidhaa na huduma umekuwa rahisi mno. Kwa mfan0,- mfanyabiashara anaweza kuuza na kununua bidhaa zake kutoka nga’mb0 akiwa hapo hapo kiwandani au afisini mwake. Hali hii imefanikishwa hata zaidi na uvumbuzi wa simutamba; kifaa kidogo lakini chenye akili kama ya bindarnu.

Kifaa hiki huwa na huduma ya intaneti ambayo humwezcsha muuzaji kumtumia mnunuzi picha ya bidhaa aitakayo akiwa popote pale. Kifaa hiki pia ni muhimu katika kuendeleza huduma za benki. Je, unajua kwamba unawczz kutoa na kuhifadhi fedha kwenye akaunti yako kwa sekunde mbili au tatu ukiwa hapo hapo sebuleni mwako? Unajua pia unaweza hata kuomba na kupokea mkopo kupitia simu yakq ya mkqnoni? Huduma hii ya sirnutarnba pia humwezesha mtu kuwatumia pesa jamaa zakc bila kulazimika kwenda benki au posta kuzituma.

Mtu anaweza hata kuhifadhi laki moja kwenye simu na kuzituma pesa hizo kulingana na matilaba yake. Kadhalika mtu anaweza kulipia huduma kama vile za umeme, maji, matibabu na hata karo kupitia kifaa hicho hicho. Ni dhahiri kwamba uvumbuzi wa kisayansi na kiteknolojia umeiletea jamii natija kubwa.

Hata hivyo, halqma mchele usiokuwa na ndume.

Macndeleo haya yameandamana na changamoto anuwai. Kuwepo kwa mtandao wa intaneti kumewafanya baadhi ya wanaj amii kutumia muda wao mwingi kwenye mtandao, mara nyingine kwa nia ya kujiburudisha tu au kuzungumza na marafiki.

Hili linapalilia kuzorota kwa maadili ya kikazi. Aidha, kuna baadhi ya watu arnbao wanatumia mtandao kuwatusi na lcuwadhalilisha wengine kwa namna mbalimbali.

Wengine huingilia uhuru wa kibinafsi wa wenzao kwa kuangaza mahusiano yao ya kimapenzi. Hali kadhalika, kuna wanajamii ambao hutumia mtandao kuwatisha wengine. Baadhi hutumia mtandao kuwatapeli wengine.

Pengine hata wewe urnewahi kupigiwa simu ukaambiwa umeshinda milioni moja, ukaanguka kwenye mtego huo, na baadaye hata ukapoteza kiasi fulani cha fedha ukifuata milioni ambayo haipo! _ Uvumbuzi wa kiteknolojia umechangia kuendeleza wizi wa kitaaluma. Kuna wasomi katika ngazi mbalimbali atnbao hunakili mawazo ya wataalamu moja kwa moja bila hata kutambua mchango wao kwenye marejeleo.

Hii ni njia moja ya kudhoofisha fani yenyewe ya utafiti. Kadhalika, mtandao wa intaneti umetumiwa na watu Waliopotoka kimaadili kupujua thamani ya mtihani. Baadhi ya watu huchukua sehemu ya mtihani au hata karatasi nzima ya mtihani wakaipiga picha na kuituma kwa wateja wao kupitia kwenye mitandao ya kijamii.

Visa vya kigaidi navyo vinaendelezwa kwa ufanifu mkubwa kupitia kwenye mtandao Wa intanenti na simu za Inkononi. Njama nyingi za ulipuaji Wa majengo zimepangwa kupitia simutamba.

Vilevile, uvumbuzi Wa kiteknolojia unatishia kutetercsha mshikamano Wa kifamilia. Siku hizi mzazi anaweza kukaa kwa miezi miwili bila kuonana ana kwa ana na watoto wake, wanazungumza tu kupitia kwenye simu.

Hili hutepua ule uhusiano wa kibinafsi kati ya jamaa, na mwishowe huweza kusababisha ukengeushi; watoto na wazazi wakajiona kuwa Wageni kwa kila mmoja Juu ya hayo, huduma zinazopatikana kwenye mtandao zimewafanya vijana kuwa waraibu kiasi cha kutotenga wakati kuyadurusu masomo yao. Hili linawatia kiwewe wakati wa mtihani na yumkini ni mojawapo ya vyanzo vya udanganyifu katika mitihani.

Maendcleo ya kiteknolojia yamesaidia kuimarisha maisha ya binadamu katika nyanja zote za maisha. Binadamu wameweza hata kupata mafundisho ya kidini moj a kwa rnoja kupitia kwenye simu zao za mkononi.

Hata hivyo, binadamu ameweza pia kuhasirika kutokana na uvumbuzi huu. Mashine zimetwaa nafasi ya binadamu katika utendakazi, jambo ambalo linapalilia zaidi uhaba wa nafsi za kazi. Ni muhimu binadamu ajitahidi kutumia teknolojia kwa njia endelevu ili kujifaidi.

(a) Fupisha ujumbe wa aya nne za kwanza kwa maneno 90. (alama 8, 1 ya rntiririko) Matayarisho Nakala Safi (b) Fafanua masuala ambayo mwandishi anaibua katika aya tatu za mwisho. (maneno 70) (alama 7, 1 ya mtiririko) Matayarisho

………………………………………………

……………………………………………….

……………………………………………….

………………………………………………..

Nakalasafi

…………………………………,…………….

……………………………………………….

………………………………………………..

…………………………………………………

3. MATUMIZI YA LUGHA: (Alama 40)

(a) Andika tofauti moja kati ya sauti zifuatazo: (alama 2)

(i) /ng’/na/gh//

(ii) /v/ na /f/

(iii) /r/na/l/

(iv) /m/na/n/

(b) Andika.

(i) konsonanti, konsonanti, konsonanti, irabu, konsonanti, irabu

(ii)konsonanti, konsonanti, irabu, konsonanti, irabu

(c) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mbili ya kiambishi O

(d) Andika sentensi zifuatazo upya kulingana na maagizo. (alama‘2)

(i) Mhalifu alisamehewa kwa sababu alinyenyekea.

(Geuza maneno yaliyopigiwa mstari kuwa nomino.)

(ii) Waigizaji wengine wameingia jukwaani.

(Tumia kivumishi cha idadi chenye kuonyesha nafasi katika orodha.)

(e) Tunga sentcnsi ukirumia kirai kihusishi kama kielezi.

(f) Unganisha sentensi zifuatazo kwa viunganishi mwafaka.

(i) Kheri aliweza kutuj engea hospitali. Ataj cnga zahanati pia.

(ii) Zumari anasomea unawsheria vile vile Maki anasomea unasheria

(g) Onyesha miundo ya nomino kafiika ngeli ya A — WA.

(h) Tunga sentensi katika wakati uliopo hali isiyodhihirika.

(i) Andika sentensi ifuatayo katika umoja.

‘ Maseremala walilainisha mbao hizo wakatutengcnezea meza.

(j) Andika upya sentensi zifuatazo kulingana na maagizo.

. (i) Kaumu amewafanya mifugo wangu wanywe maji.

(Anza kwa: Mifugo wangu , usitumie, ‘amewafanya’.) (ii) Wanakijiji wanaishi karibu na msitu. Wanakijij i hawawavamii wanyama.

(Ungamsha kuunda sentensi ambatano.)

(k) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya ukubwa.

Ngoma hizo zao ziliibwa na wezi Wale.

(I)Tumia ‘kwa’ katika sentensi kuonyesha:

(i) schemu ya kitu kizima (alama 1)

(ii) namna tendo lilivyofanyika (alama 1)

Andika sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa. (alama 2)

“Kusoma kwa mapana kutapalilia ubunifu wa wanafunzi hawa wenu,” mtaalamu akatuambia.

Ainisha vishazi katika sentensi ifuatayo. (alama 2)

Vlwanda vikianzishwa masharnbani idadi ya wanaohamia mjini itapunguzwa.

Tunga sentensi zenye miundo ifuatayo. (alama 2′)

(i) KN(N+RH)+KT(Ts+’l’)

(ii) KN(V+N)+KT (t+v)

Ainisha yambwa katika sentensi ifuatayo.

Mhunzi alimfulia rnjukuu wake pete ya shaba. (alama I)

Bainisha maana mbili zinazojitokeza katika sentensi ifuatayo.

Bedui alimrushia tufe. _

Alama za mtajo hutumiwa kufungia maneno halisi ya msemaji. Tunga sentensi ml kuonyesha matumizi rnengine mawili ya alama za mtajo.

(s) Andika sentensi ifuatayo upya kwa kutumia kinyumc cha mancno yaliyopigiwa mstari Mwanafimm mkakamavu huzingatia masomo yake. (

(t) Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya rithi na ridhi.

(u) Tunatumia similc tunapotaka mtu atupishe, …. ..tunapoomba kitu kinusurike, na kefule……… ……………………….najambo, (alama 1)

(v) Andika visawe vya mancno yafuatayo:

(i) doa

(w) Andika sentensi ifuatayo upya kulingana na rnaagizo.

Maneo haya yana uyoga

(Anza kwa: Uyoga.)

4. ISIMUJAMII: (Alama 10)

Soma makala yafizatayo kisha ujibu maswali.

“Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa, mahakama hii irnethibitisha bila chembe ya shaka kwamba wewe mshtakiwa, Bi Mlachake Chauchau ndiye uliyepika pombe haramu ambayo ilisababisha vifo vya raia harnsini na kupofuka kwa wengine mia moja. Unahukumiwa kwa kosa la mauaji.”

(a) Bainisha sajili ya makala haya kwa kutoa rnifano miwili kutoka kwenyc makala. (alama 2)

(b) Fafanua sifa nyingine nane za sajili hii ambazo zingejitokeza katika makala haya. (alama 8) ’

(Visited 937 times, 1 visits today)
Share this:

Written by