KCSE Past Papers 2017 Kiswahili Paper 1 (102/1)

Kenya Certificate of Secondary Education Kiswahili – Insha

1. Lazima

Shirika la kigeni la Tugawane limeanzisha kiwanda cha kutengenezea matofali katika eneobunge Ienu. Mwandikie barua Mhariri wa Gazeti la Mzalendo ukitoa maoni yako kuhusu faida na changamoto zinazoweza kutokana na mradi huu.

2. Andika insha kuhusu umuhimu wa mwanafunzi kujiunga na vyama mbalimbali shuleni._ 3. Tunga kisa kitakachodhihilisha maana ya methali ifuatayo:

Papo kwa papo kamba hukata jiwe.

4. Tunga kisa kitakachomalizika kwa maneno yafuatayo:

Sikuupa moyo wangu nafasi ya kujutia niliyoyatenda. Nilikuwa nimeamua kuyajenga maisha yangu upya.

……………………………………………………………

……………………………………………………………

……………………………………………………………

……………………………………………………………

(Visited 1,918 times, 1 visits today)
Share this:

Written by