KCSE Past Papers 2016 Kiswahili Paper 1 (102/1)

Kenya Certificate of Secondary Education

2016 Kiswahili Karatasi ya 1

Lugha

1 Lazima

Wewe ni katibu wa kamati inayochunguza jinni ya kupambana na tatizo sugu la dawa za kulevya. Andika ripoti ukitoa mapendekezo ya kamati.

2 “Utalii una faida nyingi kuliko madhara nchini Kenya.” Jadili.

3 Andika insha inayobainisha maana ya methali’: Chombo cha kuzama hakina usukani.

4 Tunga kisa kitakachomalizika kwa: “Niligugumia ile chupa ya maji kwa pupa. Sikuamini kuwa kiu yangu ingekatika. Baada ya kumaliza kunywa maji yote, ndipo nilipotambua kwa kweli kuwa maji ni uhai.

 

(Visited 279 times, 1 visits today)
Share this:

Written by